#Trending #KTNNews #KTNPrime
Oscar Sudi mashakani baada ya baraza la KNEC kusema kwamba cheti chake cha KCSE ni bandia
Watch Breaking and the latest news happening in Kenya, Africa and across the globe in real-time. Livestream KTN News
SUBSCRIBE to our YouTube channel for more great videos:
Follow us on Twitter:
Like us on Facebook:
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live
Watch KTN News
Follow us on
Like us on
shame on you sudi useless
Kweli mwisho wa ubaya ni AIBU…i saw his video saying Gideon Moi hana certificates his reasons were very lame ati how can you have a degree kwa shule yenu 🤣🤣🤣
Itakuwa makosa sanaaa ikiwa sudi hatopewa mashtaka na kesi hii kutochukuliwa hatua za kisheria mamia ya wakenya wamesoma kwa shida wana vyeti halali wanakosa ajira wanaishia mitaani alafu tume ya uchaguzi imechukua miaka 9 kujua mbunge mzima ana vyeti bandia wakati anapokea mshahara na marupurupu nyingi arudishe pesa zote alizolipwa na asimamishwe kazi mara moja Governor mandago atafute mtu mwenye sifa ya kuwa mbunge pale atumikie eneo bunge hiyo mpaka itakapofika uchaguzi mkuu
My question kwani mtu anaeza buy……result.😌
Hii ni siasa tu
Shida ya wanasiasa ya wa Rift valley midomo mikubwa sasa huyu sudi angekua kimya na kufanyia watu wa kwao kazi haya hayangempata
Bandia tena
Knec ni washeeeeenzi…sahizi ndo wanajua kua papers ni fake…kweli hii ni kenya
Ha haaa jamani kama sina sina haina haja kujipandisha bei by the way bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi ha haaa
The way the government is using this offices to settle political scores is just pathetic.
Kumbe ndio hana akili. Kabisa
Why now?
Am waiting to hear from Sudi's mouth.Nmemiss sudi walae.
He is suffering from the disease called( I.T.D)Intellectual transmitted disease injected by wheelbarrow party leader
Members of UDA were told any legal services is free.. .let those shameless lawyers go for sudi shameful case after caught with fake academic papers..
Mwenye alikutuma utusi mama ya president alikudanganya..Kumbe what comes from one's mouth is directly equivalent to his academic background..Nimeelewa sasa!
The disagreement between the president and his deputy is a blessing to the country because kenyans stand to know very many things which could not have been the case if the two remained together.
IEBC should be held culpable for allowing Sudi to vie for the sit without verifying his papers. Sudi should now be send to Jail because of his criminal act of forgery.
There was Echesa. Now Sud with fake papers. Who assisted them to do these crimes? Kenyans should see the pattern forming silently
Kwani hamkuwai ona kabla uchaguzi Hadi akapigiwa second term avheni za ovyo
Kuiangalia video ya Mshashi ingia hapo chini
https://youtu.be/XF6KEdeSZus
Sudi Should be punished harshly to set an example for other corrupt leaders. He should refund all the salaries paid to him out of tax payers money plus accrued interest for all the years he has fraudulently served kenyans using fake certificates.
Mbona wooote Wanao mpa ruto mkono ruto wanapewa mashtaka ya urongo tu so kuna taasisi za kifisadi mbona mwanzo wakampitisha hii Kenya
Ni hovyo media msitumike style hii kutangaza urongo
Hustler…this is the biggest reason they should remove the university or college requirements when Hustler get to power… a county that can't guarantee education to all its citizens should not hinder others from leadership… because greatest leaders and movers of this world 🌎 were never educated…billgate was a drop out … he can't be an mp in Kenya but can run a trillion worth business. Solomon had wisdom.. if a person without form 4 can lead his people for two terms and they elect him twice that is testament enough Leadership is from birth. Simple.
one yr back this man said matiangi is kichwa kubwa yenye imenjaa maji ! so ile maji iko ndani yake ndio uwa ina overflow then kuaza matusi
Sudi is the real hustler hahahah
Afungwe
Nilijua hajasoma and it is a shame if people in Kenya wanaweza endelea fanya mambo hii nchi na vyeti bandia. Kweli hi nchi ni finished na ufisadi
Integrity test already knocked him out of politics, but that one doesn't stop him from being Rich 👍